ETETA | Home juu

NIACHE NISOME KWANZA

"NIACHE NISOME KWANZA" ni kampeni Inayo endeshwa na kikundi kinacho julikana kama Magufuli Tubebe, Ni kikundi kinachoendesha kampeni ya kuzuia mimba za utotoni, Kilichozinduliwa Tarehe 29/3/2019 Na Mratibu wa Kikundi hiki Bi.Elizabeth Ngaiza Mengi katika viwanja vya shule ya msingi Lupilo iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Kampeni hii inalenga kuhakikisha watoto wetu wa kike wanapata nafasi ya kutimiza ndoto zao, wanaume wenye tabia za kuwadanganya mabinti na kuwapa ujauzito wakemewe katika Nchi hii.

Tuwaache watoto wasome kwanza "NIACHE NISOME KWANZA". Kupitia Kampeni hii tuliyoizindua tuna hakikisha watuhumiwa wa kesi hizi wanafikishwa mahakamani

Habari na Matukio

Imewekwa 2019-06-13

Watanzania Tuwalinde watoto wa kike ili kuepukana na mimba za utotoni

Watanzania na jamii nzima ni napenda  kuwaomba tushirikiane kuwalinda watoto wa kike ili watimize ndoto zao, mimba za utotoni limekuwa janga la kitaifa lakini ninaamini kuwa inawezekana endapo serikali ikiamua ,mbona iliamua viroba visiwepo, mbona Madawa ya kulevya hayapo? Serikali ni wapi inashindwa ktk kuwalinda watoto?Tuungane pamoja NIACHE NISOME KWANZA

Soma Zaidi

Wahisani

  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani