ETETA | Home juu

Watanzania Tuwalinde watoto wa kike ili kuepukana na mimba za utotoni

Watanzania na jamii nzima ni napenda  kuwaomba tushirikiane kuwalinda watoto wa kike ili watimize ndoto zao, mimba za utotoni limekuwa janga la kitaifa lakini ninaamini kuwa inawezekana endapo serikali ikiamua ,mbona iliamua viroba visiwepo, mbona Madawa ya kulevya hayapo? Serikali ni wapi inashindwa ktk kuwalinda watoto?Tuungane pamoja NIACHE NISOME KWANZA

Video

Makamu mkuu wa shule ya Morogoro sekondari akielezea sababu mbali mbali za mabinti kupata mimba kwenye umri mdogo
Ona jinsi Bi.elizabeth mengi alivyowaokoa watoto wa kike shule ya kola hill Morogoro
Kampeni ya NIACHE NISOME KWANZA chini ya Bi.Elizabeth mengi imekua mwanga kwa watoto wa kike

Wahisani

  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani