ETETA | Home juu

UTALII WA NDANI NI MUHIMU – LOATA SANARE



Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amemuagiza Kamishina Mwandamizi wa Uhifadhi Kanda ya Mashariki Stelia Ndaga inayojumuisha Hifadhi za Taifa za Mikumi, Milima ya Udzungwa, Hifadhi ya Nyerere na Saadani kuhakikisha wanahamasisha wananchi Utalii wa Ndani ili kuongeza pato kwa Serikali pamoja na wao kufaidi kuona rasilimali zilizoko katika Hifadhi hizo.

Ole Sanare ametoa agizo hili Januari 27 mwaka huu akiwa katika Mbuga ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi ikiwa ni siku yake ya kwanza ya Ziara ya siku tatu ya kutembelea Hifadhi zote za Taifa zinazopatikana ndani ya Mkoa wa Morogoro.

Wahisani

  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani
  • Wahisani